Thursday 17 March 2016


HALMASHAURI YA MBINGA NA MIKAKATI YA KUTATUA CHANGAMOTO YA MADAWATI
KATIKA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI

Wilaya ya mbinga ina jumla ya wakazi ………………. Ambao wengi wao hujishugulisha na shughuli za kilimo na ufugaji. Wilaya ina halmashauri Mbili yaani mbinga mjini na Mbinga Vijijini. Wilaya ina jumla ya kata 49(29 –Vijijini na 19 Mjini)

Wilaya ina jumla ya shule za sekondari 58(shule za serikali 39 na za watu binafsi 19) Na shule za msingi ……. . Jumla ya wanafunzi kwa shule za msingi ni ……..na sekondari ni …….. Maendeleo kitaaluma ni mazuri kwani kimkoa matokeo ya mwaka 2015 imekuwa ya kwanza.Jumla ya wanafunzi 835 Wanategemewa kujiunga na kidato cha tano kwa mwaka huu.
Wilaya inakabiliwa na changamoto ya madawati, shule za msingi zinaupungufu wa madawati 8152 na sekondari madawati 4500, katika kukabiliana na hilo wilaya imeanzisha karakana maalum kwa kutumia wataalamu wa ujenzi na kuanza kuzalisha madawati kwa mapato ya ndani.  Tayari madawati 467 na viti 751 vimetengenezwa na kusambazwa katika shule za msingi, baadhi ya shule  za msingi ambazo tayari zimenufaika na madawati haya ni pamoja na Mkinga,Kimbarakata,Mahela,MtazamaGama,Kihereketi,Luhagara,Mtunduwaro,Burundi,Ngeruke, Mihango,Lipumba,Lukai,Luwino,Maweni,Mkumbi,Kiwanjani,Kipika,Hagati,Mkoha,Masumuni.
Jumla ya shule za sekondari 13 zimeshanufaika na mpango huu na nyingine zitapata madawati katika awamu inayofuatia((Nyoni,Linda,Mbangamao,Mbambi,Mkako,Kiamili,Mikalanga,Mbinga girls,Matiri,Mkuwani,Lusetu,Mbinga day na Makita )jumla ya madawati 467 na viti 751 vimegawanywa katika sekondari hizo. Pia madawati 300 yapo katika hatua za mwisho. Halmashauri inakaribisha wahisani na mashirika mbalimbali kuchangia fedha na fivaa ili kupunguza tatizo hili ili kufanya watoto wasome katika mazingira bora zaidi na hivyo kuongeza ufaulu.

No comments:

Post a Comment